Manchester City wamuotea Alexis Mac Allister kuchukua nafasi ya Rodri
Manchester City wameanza mawasiliano na kambi ya Alexis Mac Allister wa Liverpool kama mbadala wa Rodri ambaye anahusishwa na Barcelona.
Manchester City wameanza mawasiliano na kambi ya Alexis Mac Allister wa Liverpool kama mbadala wa Rodri ambaye anahusishwa na Barcelona.
Chelsea wamefanikisha usajili wa beki wa kushoto Pep Chavarria kutoka Rayo Vallecano kwa ada ya Euro milioni 21 ili kuimarisha kikosi cha Xabi Alonso.
Arsenal wanaripotiwa kuongeza kasi ya kumshawishi beki wa Tottenham, Cristian Romero, huku Atletico Madrid nao wakiwa kwenye mbio za kumnasa staa huyo.
Kiungo mahiri wa Manchester City, Rodri, ametoa mwanga wa kijani kwa Barcelona kujiunga nao, huku vita ya kuinasa saini yake ikichacha dhidi ya Real Madrid.
Baada ya Vinicius Junior kuamua kubaki Real Madrid, Arsenal imeanza kufuatilia saini ya mshambuliaji wa Everton, Iliman Ndiaye ili kuimarisha safu yao ya ushambuliaji.
Aston Villa wameripotiwa kuwa tayari kumwachia kipa wao nyota Emi Martinez ili kuzuia kuondoka kwa beki Ezri Konsa anayewindwa na vigogo wa Premier League.
Beki wa kulia wa Tottenham, Djed Spence, ameomba kuondoka klabuni hapo ili kujiunga na Liverpool huku mazungumzo kati ya klabu hizo yakiendelea.
Wachambuzi wanaamini kuwa Tottenham Hotspur inahitaji mshambuliaji mmoja wa kiwango cha juu ili kupambania ubingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza msimu huu.
Tottenham wako mbioni kumtoa kwa mkopo kinda Mikey Moore kwenda Koln, huku wakionywa kuwa juhudi za kumsajili Cody Gakpo kutoka Liverpool ni kazi bure.